SIMBA KUWATEMA WACHEZAJI WA KIMATAIFA
Tetesi za usajili:mastaa wa simba wapo mbioni kutemwa baada ya kuonekana kutokufanya vizuri katika msimu ulio maslizika mwez uliopita.hayo yapo dhahili kulingana na wachezaj hao kuonekana kuzidiwa uwezo na wazawa kitu ambacho kinaonekana kutokuleta changamoto kwa wachezaji wa ndani.
No comments:
Post a Comment